Mourinho aamua kuacha kufikiria usajili ‘muda umefika wa mimi kuacha kufikiria hili’

IF YOU ARE 18 YEARS CLICK BELOW TO WATCH AND DOWNLOAD FULL VIDEO

Thursday, August 9, 2018

Mourinho aamua kuacha kufikiria usajili ‘muda umefika wa mimi kuacha kufikiria hili’

Meneja wa Manchester United, Jose Mourinho amesema kuwa hana uhakika wa kufanya usajili mwingine kabla ya dirisha la usajili halijafungwa saa chache zijazo

Mourinho amekuwa akihitaji kumsajili beki wa kati wa Leicester City, Harry Maguire,  Toby Alderweireld  anayekipiga Tottenham Hotspur na Jerome Boateng  ili kuimarisha safu yake ya ulinzi.Lakini meneja huyo raia wa Ureno kupitia mkutano wake na waandishi wa habari mapema hii leo ameeleza kuwa kunauwezekano mkubwa wa kutoongeza mchezaji mwingine ndani ya kikosi chake kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili leo siku ya Alhamisi
Share :
Facebook Twitter Google+

 

Back To Top